Rais wa zamani wa Chad Hissene Habre ahukumiwa maisha jela na mahakama maalum nchini Senegal
Mahakama nchini Senegal imemkuta na hatia rais wa zamani wa Chad Hissene Habre na shutuma za uhalifu dhidi ya ubinadamu, uhalifu wa vita na mateso na imemhukumu kifungo cha maisha jela. Makundi ya kutetea haki za binadam yamepongeza hatua hiyo wakisema ni onyo kwa viongozi wanaonyanyasa raia wao .
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC