Rais wa zamani wa Chad Hissene Habre ahukumiwa maisha jela na mahakama maalum nchini Senegal
Mahakama nchini Senegal imemkuta na hatia rais wa zamani wa Chad Hissene Habre na shutuma za uhalifu dhidi ya ubinadamu, uhalifu wa vita na mateso na imemhukumu kifungo cha maisha jela. Makundi ya kutetea haki za binadam yamepongeza hatua hiyo wakisema ni onyo kwa viongozi wanaonyanyasa raia wao .
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.