Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 14:44

Rais wa zamani wa Chad Hissene Habre ahukumiwa maisha jela na mahakama maalum nchini Senegal


Rais wa zamani wa Chad Hissene Habre ahukumiwa maisha jela na mahakama maalum nchini Senegal
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:02 0:00

Mahakama nchini Senegal imemkuta na hatia rais wa zamani wa Chad Hissene Habre na shutuma za uhalifu dhidi ya ubinadamu, uhalifu wa vita na mateso na imemhukumu kifungo cha maisha jela. Makundi ya kutetea haki za binadam yamepongeza hatua hiyo wakisema ni onyo kwa viongozi wanaonyanyasa raia wao .

XS
SM
MD
LG