Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Machi 29, 2023 Local time: 07:44

Hamdok ajiuzulu na kuweka mustakbali wa demokrasia mashakani


Hamdok ajiuzulu na kuweka mustakbali wa demokrasia mashakani
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:43 0:00

Waziri Mkuu wa Sudan Abdalla Hamdock amejiuzulu Jumapili huku mgogoro wa kisiasa kufuatia mapinduzi ya kijeshi ukiendelea na kuiweka nchi katika hali ngumu zaidi kidemokrasia.

XS
SM
MD
LG