Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:59

Hakuna taharuki Ethiopia, asema waziri wa mambo ya nje


Aliyekuwa waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn.
Aliyekuwa waziri mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn.

Waziri wa mambo ya kigeni wa Ethiopia amesema kuwa hakuna taharuki ya kiusalama licha ya serikali kutangaza hali ya dharura wiki iliyopita.

Hatua hiyo ilichukuliwa tarehe 16 mwezi huu baada ya waziri mkuu Hailemariam Desalegn kutangaza kujiuzulu na siku mbili baada ya serikali kuachilia huru wapinzani wake pamoja na wakosaoaji wa kisiasa ikiwa sehemu ya programu ya kupunguza taharuki za kisiasa.

Ethiopia imeshuhudia ghasia za mara kwa mara kutoka kwa waandamanaji dhidi ya serikali tangu 2014 yaliochochewa na ugawaji wa madaraka miongoni mwa vyama vya kisiasa na vikundi vya kikabila.

XS
SM
MD
LG