Umoja wa Mataifa unasema mapigano mwezi March kati ya jeshi na waasi wa M23 katika jimbo la Kivu Kaskazini yamewalazimisha watu zaidi ya 390,000 kukimbia makazi yao, huku watu 182,000 wakiwa katika kambi za wakimbizi. Ungana na mwandishi wetu akikuletea maelezo zaidi juu ya changamoto mbalimbali zinazovikabili vituo vya afya...
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto