Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 13:48

FIFA yachunguza ubaguzi dhidi ya wachezaji wa Uingereza


FIFA yachunguza ubaguzi dhidi ya wachezaji wa Uingereza
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:53 0:00

Shirikisho la Soka duniani, FIFA, linachunguza suala la ubaguzi wa rangi lililolenga wachezaji wa Uingereza wakati wa mechi ya Alhamisi dhidi ya Hungary katika michuano ya kutafuta nafasi ya kushiriki Kombe la Dunia huko Qatar 2020.

XS
SM
MD
LG