Mwanzilishi wa genge la ulanguzi la Sinaloa ameomba msaada kwa Rais Andres Manuel Lopez Obrador, kutokana na madai ya mateso ya kisaikolojia ambayo Guzman, anasema anateseka katika gereza la Marekani.
Rais Obrado aliwaambia wanahabari kwamba wanapitia maombi ya El Chapo. Haikuwa wazi kama Mexico ilikuwa na uwezo wa kukubaliana na ombi hilo