Akizungumza na wapatanishi kutoka Russia na Ukraine kabla ya mazungumzo mjini Istanbul, rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan amesema kupitia televisheni kwamba, ni jukumu kwa kila upande kufikia makubaliano na kusimamisha mpango huu.
Timu ya upatanishi ikimjumuisha bilionea Roman Abramovich ambaye ameonyesha dalili za kupewa kinacho shukuwa kuwa simu siku ya Jumatatu, pamoja na wajumbe wawili waandamizi wa timu ya Ukraine baada ya kukutana mjini Kyiv mapema mwezi huu.
Akiongea kuhusu mazungumzo hayo, Waziri wa mambo ya nje wa Ukraine, Dmytro Kuleba amesema kwamba matarajio ya chini ya mazungumzo yatakuwa program kuhusu masuala ya kibinadamu, na ya juu itakuwa makubaliano ya kusimamisha mapigano.