Duniani Leo August 6, 2021
Hii leo kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha upinzani cha CHADEMA nchini Tanzania Freeman Mbowe, leo imeahirishwa kwa mara nyingine tena baada ya upande wa Mashtaka kuieleza Mahakama kuwa hawajakamilisha baadhi ya mambo ikiwemo taratibu za kufungua kesi ya Ugaidi katika Mahakama kuu.
Matukio
-
Februari 02, 2023
DRC: Papa Francis awaasa vijana kuwa waadilifu
-
Januari 31, 2023
DRC: Papa apokelewa na umati mkubwa wa watu Kinshasa
Facebook Forum