Duniani Leo August 6, 2021
Hii leo kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha upinzani cha CHADEMA nchini Tanzania Freeman Mbowe, leo imeahirishwa kwa mara nyingine tena baada ya upande wa Mashtaka kuieleza Mahakama kuwa hawajakamilisha baadhi ya mambo ikiwemo taratibu za kufungua kesi ya Ugaidi katika Mahakama kuu.
Matukio
-
Aprili 24, 2024
Duniani Leo
-
Aprili 23, 2024
Duniani Leo
-
Aprili 22, 2024
Duniani Leo
-
Aprili 19, 2024
Duniani Leo
-
Aprili 19, 2024
Kamshina wa UN atembelea kambi za watu waliokoseshwa makazi DRC