Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 06:35

Dunia yashuhudia vurugu katika uwanja wa ndege Kabul


Dunia yashuhudia vurugu katika uwanja wa ndege Kabul
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:16 0:00

Wiki hii dunia imeshuhudia vurugu katika eneo la uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Hamid Karzai, Kabul, Afghanistan, wakati raia wa Marekani na Waafghanistan waliokuwa wakisaidia jeshi la Marekani wakifanya juhudi za kuondoka baada ya Taliban kuchukua udhibiti wa nchi hiyo.

XS
SM
MD
LG