Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Mei 01, 2024 Local time: 03:28

DRC yamuenzi kiongozi wa kiroho aliyeasisi Kanisa la Kimbanguist


DRC yamuenzi kiongozi wa kiroho aliyeasisi Kanisa la Kimbanguist
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:30 0:00

Mamlaka nchini Congo imetangaza siku ya Kimbangu kuwa ni sikukuu rasmi nchini humo.

Ungana na mwandishi wetu akikuletea taarifa kamili jinsi waumini wa Kanisa la Kimbanguist mjini Goma walivyopokea tamko la Rais wa Congo kuhusu siku hiyo ya kumbukumbu ya kiroho, na yale ambayo aliyafanya kiongozi huyu. Endelea kusikiliza....

XS
SM
MD
LG