Kufatia mfululizo wa mauaji katika wilaya ya Beni katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, makundi ya kina mama wilayani humo, sasa yanapendekeza mazungmuzo kati ya marais wa Uganda, Rwanda na DRC, ili kutanzua mzozo uliopelekea kuwepo kwa hali mbovu ya usalama katika eneo hilo…
Mwandishi wa Sauti ya Amerika wa DRC, Austere Malivika ana ripoti kamili….