Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 21:47

DRC : Tatizo sugu la maji Goma lasababisha maradhi, ubakaji


DRC : Tatizo sugu la maji Goma lasababisha maradhi, ubakaji
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:11 0:00

Wakazi wa Goma wanaeleza tatizo sugu la maji limesababisha milipuko ya maradhi kama kipindupindu, kuzama na pia kupelekea ubakaji kutokana na wanawake kutoka usiku mwingi kutafuta maji.

XS
SM
MD
LG