Baraza kuu la Umoja wa Mataifa, baada ya kampeni iliyoanzishwa na mataifa madogo ya visiwani kuitaka mahamaka ya kimataifa ya haki (ICJ), kutoa maoni yake juu ya nchi ambazo kisheria zinahusika na madhara mabaya ya mabadiliko ya hali ya hewa.
Moja ya mataifa hayo Vanuatu, Jumatatu iliiomba mahakama kutambua madhila ya mabadiliko ya hali ya hewa, na kutaka kutolewa fidia kwa madhara hayo.
China moja ya mataiga mawili makubwa na Marekani yanayo changia hewa ukaa na kusababisha joto kuongezeka, imeeleza kutambua yale magumu mataifa yanayo endelea yanapitia.
Forum