Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 01, 2023 Local time: 01:03

Bunge la UN la Mazingira lapitisha azimio kukomesha matumizi ya plastiki


Bunge la UN la Mazingira lapitisha azimio kukomesha matumizi ya plastiki
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:17 0:00

Azimio la kihistoria kuhusu uchafuzi wa plastiki limepitishwa na Bunge la Umoja wa Mataifa la Mazingira nchini Kenya likitaka kuundwa kwa kamati ya mazungumzo baina ya serikali kwa ajili ya kuandaa makubaliano ya kisheria kuhusu uchafuzi wa plastiki.

XS
SM
MD
LG