Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Desemba 04, 2025 Local time: 23:51

Blinken ashauri wapiganaji 10,000 wa ISIS warudishwe makwao


Blinken ashauri wapiganaji 10,000 wa ISIS warudishwe makwao
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:43 0:00

Waziri wa Mambo ya Nje amependekeza katika mkutano wa wadau wa muungano wa kimataifa kupambana na kikundi cha Kiislam cha ISIS unaofanyika Vatican kutafuta ufumbuzi wa kuwarudisha wapiganaji hao makwao.

XS
SM
MD
LG