“Ujumbe ninaoleta Israel ni huu, kwamba mnaweza kuwa madhubuti kikamilifu wenyewe kujilinda, lakini kwa kuwa Marekani, ipo kamwe hamtakuwa peke yenu, alisema waziri Blinken, akiwa pembeni ya waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, mjini Tel Aviv.
Waziri Blinken, aliulizia picha ambazo waziri mkuu Netanyahu alimuonyesha za watoto, na vijana waliouwawa katika shambulizi hilo lililotajwa kuwa la kigaidi la Hamas. Waziri Blinken alisema picha hizo zinatisha na kusikitisha.
Forum