Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:15

Bilionea Motsepe athibitishwa rais wa CAF, ahimiza umoja


Bilionea Motsepe athibitishwa rais wa CAF, ahimiza umoja
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:18 0:00

Bilionea wa Afrika Kusini Patrice Motsepe amethibitishwa kuwa rais wa shirikisho la soka barani Afrika, CAF, na amehimiza umoja kaika kuendesha shirikisho hilo.

XS
SM
MD
LG