Huu ni ushahidi wa mwanzo wa enzi mpya ya Warepublikan wenye utata wakati wakikutana na vizingiti katika kila hatua wanayoipiga. Warepublikan wanasema wameanza kwa kufanya mabadiliko ya kanuni katika Baraza la Wawakilishi ili kukidhi matakwa ya watu waliowachagua kuongoza. Ungana na mwandishi wetu akukuletea taarifa kamili.
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto