Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 02:58

Baraza la Wawakilishi: Warepublikan wanasema wameazimia kuleta nidhamu ya matumizi ya fedha


Baraza la Wawakilishi: Warepublikan wanasema wameazimia kuleta nidhamu ya matumizi ya fedha
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:27 0:00

Baraza la Wawakilishi limepitisha mswaada wa kwanza unaopunguza matumizi ya fedha za serikali ili kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani. Mswaada huo wa IRS ulikumbana na vizingiti.

Huu ni ushahidi wa mwanzo wa enzi mpya ya Warepublikan wenye utata wakati wakikutana na vizingiti katika kila hatua wanayoipiga. Warepublikan wanasema wameanza kwa kufanya mabadiliko ya kanuni katika Baraza la Wawakilishi ili kukidhi matakwa ya watu waliowachagua kuongoza. Ungana na mwandishi wetu akukuletea taarifa kamili.

XS
SM
MD
LG