Baraza hilo lenye wajumbe 9 litakuwa na jukumu la kuteua waziri mkuu mpya pamoja na kubuni serikali mpya, kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu. Henry alitangaza kujiuzulu kwake hapo Machi kufuatia kuzuka kwa ghasia kutoka kwa magenge kwenye mji huo mkuu wa Haiti.
Kiongozi huyo anayeondoka tayari ameomba msaada wa kimataifa ili kukabiliana na makundi hayo ambayo yanadhibiti takriban asilimia 80 ya Port-au-Prince.
Forum