Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 04:52

Balozi mpya wa Marekani nchini Zambia athibitishwa na Bunge


Jengo la Bunge la Marekani
Jengo la Bunge la Marekani

Balozi mpya aliyeteuliwa, Michael Gonzales anatarajiwa kuwasili nchini humo mwezi July baada ya kuthibitishwa na Bunge la Marekani.

Mwaka 2019, Marekani ilimwita balozi wake Daniel Foote baada ya kusema kuwa alishtuka sana kwa maamuzi ya jaji kutoa hukumu ya wanandoa wa jinsia moja ya kifungo cha miaka 15 jela.
Jumanne Rais wa Zambia Hakainde Hichilema alimuaga balozi mdogo wa Marekani anayemaliza muda wake Martin Dale na kuhakikisha kuimarisha uhusiano wa muda mrefu kati ya nchi hizo mbili.

XS
SM
MD
LG