Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 22:32

#BALonVOA2021 : Zamalek yashinda kombe la Mpira wa Kikapu Afrika (BAL)


#BALonVOA2021 : Zamalek yashinda kombe la Mpira wa Kikapu Afrika (BAL)
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:46 0:00

Muhtasari wa Fainali ya Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika (BAL) ambapo timu ya Zamalek ya Misri imeshinda kwa pointi 76-63 dhidi ya timu ya US Monastir ya Tunisia, Jumapili mjini Kigali, Rwanda na kuibuka mshindi wa kombe la kwanza la Mpira wa Kikapu wa Afrika (BAL).

XS
SM
MD
LG