#BALonVOA2021 : Rwanda yaingia Nusu Fainali, Maputo yatolewa
Klabu ya Mpira wa Kikapu ya Patriots (Rwanda) imeifunga Ferroviario de Maputo (Mozambique) pointi 73-71, katika Robo Fainali ya marudiano ya Ligi ya BAL, Alhamisi mjini Kigali, Rwanda. Kwa ushindi huo , Patriots B.B.C wanaingia katika Nusu Fainali ya Ligi ya BAL huku Maputo ikiwa imetoka.
Matukio
-
Januari 28, 2023
Russia yafanya mashambulizi 44 ya anga Ukraine
-
Januari 28, 2023
Je, Arsenal wanaweza kuwa wapinzani wa muda mrefu wa Manchester?
-
Januari 28, 2023
Sudan na Ethiopia wafikia makubaliano ya bwawa lenye utata
-
Januari 27, 2023
Waziri wa Fedha wa Marekani aipongeza Afrika Kusini kwa ujasiri wake
Facebook Forum