Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 11:17

Baadhi ya watoto, wajawazito na wanao nyonyesha Kenya wakabiliwa na utapiamlo


Baadhi ya watoto, wajawazito na wanao nyonyesha Kenya wakabiliwa na utapiamlo
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:41 0:00

Mamlaka ya kitaifa ya kudhibiti Ukame nchini Kenya, mwezi Novemba ilisema zaidi ya watoto 900,000 wa umri wa chini ya miaka mitano pamoja na kina mama wajawazito na wanaonyonyesha wapatao 134,000 wanautapiamlo. Takriban watu wanaoteseka kutokana na tatizo hilo wako katika kaunti tatu.

XS
SM
MD
LG