Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 08, 2026 Local time: 14:53

Al-Shabab washambulia kambi ya jeshi la Somalia

Maafisa wanasema wapiganaji hao walishambulia kambi ya Laanta Buur kilometa 40 kusini mwa Mogadishu kutoka maeneo mawili tofauti leo Jumatatu.

Maafisa huko Somalia wanasema wanamgambo wa Al-Shabaab walishambulia kambi ya jeshi la serikali ya Somalia na kuuwa wanajeshi 6.

Maafisa wanasema wapiganaji hao walishambulia kambi ya Laanta Buur kilometa 40 kusini mwa Mogadishu kutoka maeneo mawili tofauti leo Jumatatu.

Majeshi kadhaa ya kijeshi yalikamatwa katika mashambulizi kadhaa maafisa wamesema.

Umoja wa Mataifa una miongo kadhaa ya vikwazo kadhaa ya silaha dhidi ya Somalia ambayo imegubikwa na mizozo tangu kuibuka kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 1991.

This item is part of
XS
SM
MD
LG