Maafisa wanasema ndege hiyo inayomilikiwa na shirika la Nature Air ililipuka mara tu ilipoanguka na hakuna mtu aliyenusurika.
Familia moja katika eneo la New York imeeleza Wamarekani watano kati ya waliouwawa ni ndugu wa familia moja waliokuwa likizo.
Wametambuliwa kuwa ni wakazi wa Scarsdale, New York mtu na mkewe Bruce na Irene Steinberg na watoto wao watatu.