Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 01:30

Ajali ya moto yaua watu 19 wakiwemo watoto 9 New York


Ajali ya moto yaua watu 19 wakiwemo watoto 9 New York
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:18 0:00

Kifaa cha kuleta joto kilichoshindwa kufanya kazi kimesababisha moto ulioteketeza nyumba ya makazi ya watu katika Jiji la Bronx huko Jimbo la New York Jumapili, watu 19 walifariki wakiwemo watoto tisa katika ajali iliyokuwa haijawahi kutokea.

XS
SM
MD
LG