Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 31, 2023 Local time: 02:46

Ajali za barabani zauwa watu 20 nchini Kenya


Ajali ya basi la abiria .
please wait
Embed

No media source currently available

0:00 0:02:21 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

Takriban watu 20 wamefariki nchini Kenya katika ajali tofauti za barabarani wakati wa sikukuu ya Krismasi. Hiyo ni kwa mujib wa ripoti iliotolewa na idara ya traffic nchini humo. Polisi inasema imekuwa na wakati mgumu kuwaandama madereva waliokiuka sheria za barabarani na wengine wakikamatwa kwa kuendesha magari wakiwa wamelewa.

XS
SM
MD
LG