Mwendesha mashtaka wa ICC Louis Moreno-Ocampo amewataka majaji kuiripoti Sudan kwenye baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa kushindwa kuiheshimu waranti ya mahakama.
Mwendesha mashtaka wa ICC Louis Moreno-Ocampo amewataka majaji kuiripoti Sudan kwenye baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa kushindwa kuiheshimu waranti ya mahakama.