Serikali ya Uingereza imesitisha msaada mwingine wa paundi milioni 30 za mpango wa elimu ya bure nchini Kenya kutokana na kuongezeka kwa visa vya rushwa nchini humo.
Serikali ya Uingereza imesitisha msaada mwingine wa paundi milioni 30 za mpango wa elimu ya bure nchini Kenya kutokana na kuongezeka kwa visa vya rushwa nchini humo.