Dunia ya adhimisha siku ya wanawake duniani. Mawaziri na manaibu mawaziri nchini Kenya wapigwa marufuku kusafiri nje ya nchi ili kuhudhuria vikao vya bunge vya kujadili katiba mpya.
Dunia ya adhimisha siku ya wanawake duniani. Mawaziri na manaibu mawaziri nchini Kenya wapigwa marufuku kusafiri nje ya nchi ili kuhudhuria vikao vya bunge vya kujadili katiba mpya.