Ofisi ya Rais nchini Ivory Coast inasema leo itatangaza serikali mpya baada ya Rais Laurent Gbagbo kuivunja serikali ya zamani siku nne zilizopita.
Ofisi ya Rais nchini Ivory Coast inasema leo itatangaza serikali mpya baada ya Rais Laurent Gbagbo kuivunja serikali ya zamani siku nne zilizopita.