Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Februari 22, 2026 Local time: 04:18

Mombasa

Waziri wa uchukuzi wa Kenya Ali Chirau Mwakwere amepoteza kiti chake cha ubunge huko Matuga baada ya mahakama mjini Mombasa kumkuta na makosa yanayohusiana na uchaguzi.

XS
SM
MD
LG