Maharamia wa Somalia wateka nyara meli ya mizigo na wafanyikazi 22. Waziri mkuu wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai na mawaziri wake wahudhuria kikao cha bunge.
Maharamia wa Somalia wateka nyara meli ya mizigo na wafanyikazi 22. Waziri mkuu wa Zimbabwe Morgan Tsvangirai na mawaziri wake wahudhuria kikao cha bunge.