Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 01, 2023 Local time: 17:25

Ndege ndogo yaanguka Nairobi


Ndege ndogo ya kibiashara yaanguka uwanja wa Wilson mjini Nairobi na kuuwa rubani na abiria wawili. Rais Abdoulaye Wade wa Senegal ashinikizwa kujiuzulu kufuatia madai ya ufisadi.

XS
SM
MD
LG