Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Desemba 07, 2023 Local time: 16:33

polisi waweka ulinzi mkali Nairobi


Polisi waweka ulinzi mkali mjini Nairobi kufuatia kuuawa kwa msemaji wa kundi la Mungiki Gitau Njuguna Gitau,huku aliyekuwa kiongozi wao zamani Maina Njenga akisema anahofia maisha yake.

XS
SM
MD
LG