Sudani kaskazini na kusini wameafikiana makubaliano ya kura ya maoni juu ya uhuru. U.N yaidhinisha ripoti inayozishutumu Israel na Palestina kwa uhalifu wa vita huko Gaza.
Sudani kaskazini na kusini wameafikiana makubaliano ya kura ya maoni juu ya uhuru. U.N yaidhinisha ripoti inayozishutumu Israel na Palestina kwa uhalifu wa vita huko Gaza.