Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 11:09

wabunge wa Kenya bado wajadili uteuzi wa Ringera


Majadiliano yaendelea Kenya kuwashawishi wabunge kuidhinisha uteuzi wa jaji Aaron Ringera kuongoza tume ya kupambana na rushwa. Rwanda itafanya uchaguzi mkuu Agosti 9 mwaka 2010.

XS
SM
MD
LG