Maafisa Usalama wa Afrika Mashariki na Kati wanakutana Nairobi kujadili masuala ya usalama. Wanamgambo wa kiislam na wanajeshi wanaoiunga mkono serikali wamepambana nchini Somalia.
Maafisa Usalama wa Afrika Mashariki na Kati wanakutana Nairobi kujadili masuala ya usalama. Wanamgambo wa kiislam na wanajeshi wanaoiunga mkono serikali wamepambana nchini Somalia.