Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekutana na Rais wa DRC, pia atatembelea hospitali inayotibu kina mama waliobakwa. Baraza la Mawaziri Kenya lajadili mzozo wa chakula nchini humo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekutana na Rais wa DRC, pia atatembelea hospitali inayotibu kina mama waliobakwa. Baraza la Mawaziri Kenya lajadili mzozo wa chakula nchini humo.