Baraza la mawaziri likiongozwa na Rais Kibaki na Waziri Mkuu Odinga lashindwa kubuni mahakama maalumu ya watuhumiwa wa ghasia na mauaji ya uchaguzi mkuu uliopita.Litajaribu tena wiki ijayo.
Baraza la mawaziri likiongozwa na Rais Kibaki na Waziri Mkuu Odinga lashindwa kubuni mahakama maalumu ya watuhumiwa wa ghasia na mauaji ya uchaguzi mkuu uliopita.Litajaribu tena wiki ijayo.