Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Desemba 14, 2025 Local time: 23:53

Muungano wa mrengo wa kulia Umoja wa Ulaya wafukuza Ujumbe wa chama AfD cha Ujerumani


Wajumbe wa chama cha mrengo wa kulia cha Ujerumani cha Mbadala kwa Ujerumani (AfD) wakiwa katika picha wakati wa sherehe za serikali kama sehemu ya sherehe za kuadhimisha miaka 75 ya Katiba ya Ujerumani mbele ya Kansela mjini Berlin, Ujerumani Mei 23, 2024.
Wajumbe wa chama cha mrengo wa kulia cha Ujerumani cha Mbadala kwa Ujerumani (AfD) wakiwa katika picha wakati wa sherehe za serikali kama sehemu ya sherehe za kuadhimisha miaka 75 ya Katiba ya Ujerumani mbele ya Kansela mjini Berlin, Ujerumani Mei 23, 2024.

Kikundi cha kinachojitambulisho cha mrengo wa kulia na Democracy Group (ID) kimeufukuza ujumbe wa Ujerumani wa Alternative for Germany (AfD).

Uamuzi wa ID Alhamisi ulikuja siku moja baada ya AfD kumpiga marufuku kiongozi wake, Maximilian Krah, kushiriki katika matukio ya kampeni.

Krah anachunguzwa kwa uhusiano wake na Russia na China baada ya mmoja wa wasaidizi wake kukamatwa kwa tuhuma za ujasusi kwa China.

Kauli ya Krah pamoja na tabia nyingine zilikuwa zimezidi mno kwa vikundi vingine vya mrengo wa kulia.

Forum

XS
SM
MD
LG