Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 28, 2025 Local time: 20:02

Serikali kadhaa zatoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Rais wa Iran Ebrahim Raisi


Serikali kadhaa zatoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Rais wa Iran Ebrahim Raisi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Pakistan imetangaza siku moja ya maombolezo, nayo Lebanon imetangaza siku tatu za maombolezo, huku serikali kadhaa zikitoa salamu za rambirambi kwa Iran baada ya kifo cha Rais Ebrahim Raisi na waziri wa mambo ya nje Hossein Amirabdollahian katika ajali ya helikopta.

XS
SM
MD
LG