Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Februari 16, 2025 Local time: 12:15

DRC yapiga kura, uchaguzi wakabiliwa na changamoto kadhaa


DRC yapiga kura, uchaguzi wakabiliwa na changamoto kadhaa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo iko katika uchaguzi wa rais na wabunge siku ya Jumatano baada ya kampeni zilizoshuhudia vurugu na shutuma za wizi, ghasia, na kukwama kwa vifaa ambavyo vinaweza kuwazuia wengi kupiga kura.

XS
SM
MD
LG