Wasomi na wanasiasa wameitaka Serikali kusikiliza maoni ya Watanzania ambao hawajaridhishwa na maamuzi ya serikali ya uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam ili kupunguza migongano ya kisiasa inayoendelea.
Wasomi na wanasiasa wameitaka Serikali kusikiliza maoni ya Watanzania ambao hawajaridhishwa na maamuzi ya serikali ya uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam ili kupunguza migongano ya kisiasa inayoendelea.