Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Januari 22, 2025 Local time: 14:11

Maandamano ya kupinga mikataba ya bandari Tanzania yakosa kufanyika baada ya polisi kuwakamata walioyapanga


Maandamano ya kupinga mikataba ya bandari Tanzania yakosa kufanyika baada ya polisi kuwakamata walioyapanga
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wasomi na wanasiasa wameitaka Serikali kusikiliza maoni ya Watanzania ambao hawajaridhishwa na maamuzi ya serikali ya uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam ili kupunguza migongano ya kisiasa inayoendelea.

XS
SM
MD
LG