Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Februari 16, 2025 Local time: 17:18

Africa Kusini yaamuru wanajeshi wanaoshutumiwa kwa unyanyasaji wa kingono DRC warudi nyumbani


Africa Kusini yaamuru wanajeshi wanaoshutumiwa kwa unyanyasaji wa kingono DRC warudi nyumbani
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Jeshi la Afrika Kusini lilisema Jumapili kuwa limewaamuru kurudi nyumbani wanajeshi wanane wanaotuhumiwa kwa utovu wa nidhamu unaohusiana na unyanyasaji wa kingono katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hadi uchunguzi ufanyike.

XS
SM
MD
LG