Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 27, 2025 Local time: 13:24

Mpango wa kutuma maafisa wa polisi wa Kenya kusaidia kupambana na magenge ya uhalifu nchini Haiti waendelea kukumbwa na changamoto.


Mpango wa kutuma maafisa wa polisi wa Kenya kusaidia kupambana na magenge ya uhalifu nchini Haiti waendelea kukumbwa na changamoto.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mahakama ya Kenya siku ya Jumatatu ilisitisha kwa muda mpango wa serikali wa kutuma polisi nchini Haiti kwenye operesheni inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa inayolenga kurejesha utulivu katika taifa hilo linalokabiliwa na changamoto kubwa ya magenge.

XS
SM
MD
LG