Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Januari 14, 2025 Local time: 09:05

Utawala wa kijeshi Burkina Faso wawakamata na kuwahojji maafisa wanne


Utawala wa kijeshi Burkina Faso wawakamata na kuwahojji maafisa wanne
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Burkina Faso ilisema siku ya Alhamisi kuwa maafisa wanne wametiwa ndani, siku moja baada ya serikali ya kijeshi kutangaza kuwa imezima jaribio la mapinduzi.

XS
SM
MD
LG