Burkina Faso ilisema siku ya Alhamisi kuwa maafisa wanne wametiwa ndani, siku moja baada ya serikali ya kijeshi kutangaza kuwa imezima jaribio la mapinduzi.
Burkina Faso ilisema siku ya Alhamisi kuwa maafisa wanne wametiwa ndani, siku moja baada ya serikali ya kijeshi kutangaza kuwa imezima jaribio la mapinduzi.