Kufuatia Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa kutangazwa mshindi wa uchaguzi ulioibua utata, kiongozi wa upinzani alishutumu tume ya uchaguzi kwa kile alichopkiita udanganyifu mkubwa, huku Mnangagwa akimtaka aende mahakamani kupinga matokeo hayo.
Kufuatia Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa kutangazwa mshindi wa uchaguzi ulioibua utata, kiongozi wa upinzani alishutumu tume ya uchaguzi kwa kile alichopkiita udanganyifu mkubwa, huku Mnangagwa akimtaka aende mahakamani kupinga matokeo hayo.