Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Februari 11, 2025 Local time: 06:07

Mnangagwa amtaka Chamisa kuwasilisha changamoto mahakamani iwapo hajatosheka na matokeo ya uchaguzi


Mnangagwa amtaka Chamisa kuwasilisha changamoto mahakamani iwapo hajatosheka na matokeo ya uchaguzi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kufuatia Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa kutangazwa mshindi wa uchaguzi ulioibua utata, kiongozi wa upinzani alishutumu tume ya uchaguzi kwa kile alichopkiita udanganyifu mkubwa, huku Mnangagwa akimtaka aende mahakamani kupinga matokeo hayo.

XS
SM
MD
LG