Mahakama ya Juu ya Marekani Alhamisi imeamuru kwamba sera inayotoa nafasi mbalimbali kwa watu waliotengwa, maarufu kama Affirmative Action, kujiunga na vyuo vikuu nchini Mrekani, kwa kuzingatia rangi ya mtu, unakiuka katiba.
Mahakama ya Juu ya Marekani Alhamisi imeamuru kwamba sera inayotoa nafasi mbalimbali kwa watu waliotengwa, maarufu kama Affirmative Action, kujiunga na vyuo vikuu nchini Mrekani, kwa kuzingatia rangi ya mtu, unakiuka katiba.